🏫 TANGAZO LA KUJIUNGA NA SHULE YA ST. MARK’S – DODOMA Tarehe ya Kutolewa: 12 Oktoba 2025 Tunayo furaha kuwataarifu wazazi/walezi kuwa fomu za kujiunga na Shule ya St. Mark's – Dodoma kwa mwaka wa masomo ujao 2026 zinapatikana kuanzia tarehe 12 Oktoba 2025. 📍 Shule yetu iko Miyuji, karibu na Chuo cha Mipango – Dodoma. Inapatikana kwa urahisi, mahali salama na tulivu kwa mazingira bora ya kujifunzia. ✅ Fomu zinapatikana: Mtandaoni kupitia tovuti yetu (www.https://saintmarksdodoma.blogspot.com/) Ofisini – Karibu utembelee ofisi zetu kwa msaada wa moja kwa moja 🎁 OFA! Kwa wanafunzi wote watakaojiunga kuanzia Oktoba hadi Desemba 2025, tunatoa punguzo maalum la ada kama sehemu ya ofa ya msimu huu. 📝 Tunapokea wanafunzi wa: Chekechea Msingi Kwa mawasiliano zaidi: 📞 Simu: [0764230728] 📧 Barua pepe: [saintmarksdodoma@gmail.com] 🌐 Tovuti: [www.https://saintmarksdodoma.blogspot.com/] 📍 Anwani: Miyuji, karibu na Chuo cha Mipango, Dodoma
Matokeo ya Darasa la saba 2023 Dodoma St.Mark's kidedea kwa matokeo ya kuvutia kwa ufaulu wa DARAJA A (BORA) wanafunzi 168 wote wakiwa na (A) sawa na wastani wa 280 St.Mark's Dodoma, Shule Bora Dodoma Tanzania
TANGAZO LA MASOMO MWAKA WA MASOMO 2025 OFFER KABAMBE KUANZIA MWEZI WA TISA-DESEMBA 2024 ITAKUJIA HIVI PUNDE NA UCHUKUAJI FOMU KUPITIA MTANDAO ITAKUWA BURE. .....SOON....... St.Mark's Dodoma, Shule Bora Dodoma Tanzania
Comments